Fahari ya Serengeti

Thursday, June 22, 2017

KUIMARISHA UTAFITI SINGITA GRUMETI FUND WATOA GARI KWA TAWIRI

 Afisa Mahusiano Msaidizi wa Kampuni ya Singita Grumeti Fund David Mwakipesile kulia akiwa ameshikana mkono na Profesa Todd Michael Anderson kutoka Wake Forest University Kitengo cha Baolojia Winston -Salem ambaye ni mmoja wa watafiti Katika Kituo cha watafiti wa Wanyamapori Serengeti,kama ishara ya makabidhiano,kulia ni Mkuu wa Kituo cha Utafiti Serengeti Dk Robert Fumagwa,wa kwanza kushoto ni muikolojia wa Senapa Asheli Loishooki.
Singita Grumeti Fund wametoa gari hilo ili kuimarisha shughuli za utafiti katika ikolojia ya Serengeti ambayo ni uti wa Mgongo wa uhifadhi hapa nchini kutokana na umaarufu wake

0 comments:

Post a Comment