Fahari ya Serengeti

Thursday, June 8, 2017

KAMPEINI KUONDOA UKEKETAJI TANZANIA YATUA KWA MAHAKIMU,POLISI NA WATENDAJI WA HALMASHAURI MARA

 Wakili Hamisi Mkindi wa LHRC akitoa mada wakati wa mafunzo ya Kampeini Kuondoa Ukeketaji Tanzania kwa mahakimu,maafisa wa Polisi na Watendaji wa Halmashauri Mkoa wa Mara ukumbi wa Giraffe Mugumu Serengeti.
 Wanafuatilia mada
 Mada zinaendelea kutolewa.
 Ana mwaga sera

 Washiriki toka wilaya za Musoma ,Tarime na Serengeti wakifuatilia mada

 Wawaweshaji kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC)
 Picha ya Pamoja ilipigwa


0 comments:

Post a Comment