Fahari ya Serengeti

Thursday, June 8, 2017

MKANGANYIKO WA SHERIA CHANZO CHA KUSHAMIRI UKEKETAJI

 Wasiriki wa mafunzo ya Kampeini kuondoa ukeketaji Tanzania kutoka wilaya mbalimbali za Mkoa wa Mara wakiendelea kupata dozi,hata hivyo wamesema migongano ya sheria ya Mtoto,Makosa ya Jinai,Ndoa na mikataba mbalimbali ya kimataifa hailengi kuwanusuru watoto wa kike dhidi ya ukatili huo.
 Mwezeshaji akipitia mada kabla ya kuwasilisha.mambo ya elektroniki
 Wanafuatilia mada


 Wanafuatilia kwa makini
Wakili Hamisi Mkindi akimwaga sera .

0 comments:

Post a Comment