Fahari ya Serengeti

Friday, June 9, 2017

GARI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI LAGONGANA NA PIKIPIKI YA POLISI.

 Gari la halmashauri ya wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara likiwa mtaroni baada ya kugongana na pikipikiya Polisi iliyokuwa inaendeshwa na mkuu wa usalama barabarani wilaya,Inspekta Benson Omar ambaye amevunjika mguu,
 Ajali ajali.
 Watua wakiangalia gari la halmashauri lililopata ajali.

 Pikipiki ya Polisi iliyopata
 Gari la halmashauri lililopata ajali



0 comments:

Post a Comment