Fahari ya Serengeti

Wednesday, May 31, 2017

FRANKFURT YATOA MAGARI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SH 150 MIL KWA SENAPA NA IKONA

 Magari mawili yametolewa na Frankfurt Zoloogical Society imetoa magari mawili kwa Senapa na Ikona kwa ajili ya kuboresha utendaji na kuimarisha doria ili kupunguza migogoro kati ya wananchi na wanyama katika maeneo ya vijiji vinavyounda jumuiya hiyo wilayani Serengeti.
 Mkurugenzi wa Frankfurt Tanzania Gerald Bigurube kulia akiwa  ameshikilia funguo za gari la Ikona Wma lenye thamani ya sh 79 mil lililotolewa na Umoja wa Ulaya (EU)kupitia shirika la FZS ili kuiwezesha jumuiya hiyo inayoundwa na vijiji vitano kuimarisha ulinzi katika ikolojia ya serengeti.
 Afisa maliasili wilaya ya Serengeti John Lendoyan kwa niaba ya Mkuu wa wilaya hiyo Nurdin Babu akikata utepe kuashiria uzinduzi wa gari hilo kabla ya kukabidhi viongozi wa Jumuiya hiyo,

 Mkurugenzi wa FZS kulia akikabidhi Funguo kwa mhifadhi ujilani Mwema wa Senapa Nuhu Daniel Kwaniaba ya Mhifadhi Mkuu wa Senapa William Mwakilema,gari hilo limetolewa na Benki ya Maendeleo ya watu wa Ujerman KFW kwa thamani ya zaidi ya sh 70 mil,jumla ya thamani ya magari yote ni sh 150 mil.
 Wanaangalia stika
 Maandalizi ya  kukabidhi.
 Kikao kabla ya makabidhiana kinaendelea
 Masegeri Tumbuyo meneja ujilani Mwema FZS akieleza lengo la kununua magari hayo.
 wadau mbalimbali wameshiriki.
 Afisa maliasili wilaya akieleza umuhimu wa uhifadhi kwa jamii.
 Wanafuatilia
 Askari wa Ikona nao walikuwepo
 Anawasha gari mara baada ya kukabidhiwa
 Ana jaribu gari
 Kazi imeanza kama inavyoonekana.
 Mijadala mbalimbali ilikuwepo


Wanyama hawakuwa mbali na eneo la tukio la makabidhiano.

0 comments:

Post a Comment