Fahari ya Serengeti

Monday, May 1, 2017

SERENGETI YAPONGEZWA KWA MAANDALIZI MAZURI YA MEI MOSI MKOA WA MARA

Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa amewataka wafanyakazi kutoa huduma bora kwa wananchi kama yalivyo makusudi ya serikali ya awamu ya tano,akikabidhi na kutunuku vyeti kwa wafanyakazi bora wakati wa maadhimisho ya Mei Mosi kimkoa wilayani Serengeti,amesema vyama vya wafanyakazi visiwe mbele kwa ajili ya kupaza sauti za watumishi kudai haki,pia wasimamie utendaji wao ambao unalalamikiwa na wananchi.


 Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa akimkabidhi Mlelema kutoka idara ya Mipango halmashauri ya wilaya ya Serengeti cheti na hundi ya sh 500,000 baada ya kuibuka mfanyakazi bora.
 Maandamano yamepambwa na vikundi mbalimbali.

 Dc Serengeti Nurdin Babu katikati mwenyeji wa maadhimisho hayo kimkoa,kulia  Rc Mlingwa

 Rc Mlingwa akikagua banda la Serengeti Arts na kupata maelezo kutoka kwa mkurugenzi wa kikundi hicho Paulina Boma kulia ,katikati ni mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu.
 Rc Mlingwa akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maafisa wa hifadhi ya Taifa ya Serengeti
 Adamu Magara ni miongoni mwa wafanyakazi bora kutoka mamlaka ya mji mdogo wa Mugumu.
 Wanafuatilia
 Hongera sana Devota Makondo kwa kuwa mfanyakazi bora toka Ikona Wmas na kupata cheti na sh 1 milioni
 ni miongoni mwa wafanyakazi bora
Rc Dk Mlingwa akoshwa na maandalizi mazuri ya maadhimisho hayo wilayani Serengeti

0 comments:

Post a Comment