Fahari ya Serengeti

Thursday, May 18, 2017

WAJITOKEZA KUPIMA AFYA NA KUTOA DAMU


 Wakazi wa Mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti wamejitokeza kwa wingi kupima afya zao na kutoa damu kwa hiari chini ya uratibu wa Jopo la Wauguzi wilayani hapa,
 Wananchi wanatakiwa kujitokeza kuchangia damu kwa hiari kwa kuwa hospitali Teule ya Nyerere na maeneo mengine inakabiliwa na upungufu wa damu.


 Wataalam wakiwa kazini katika eneo la Uwanja wa Mbuzi mjini Mugumu.
 Uchangiaji wa damu unaendelea


Anachangia damu kwa ajili ya kuokoa akina mama wajawazito,watoto na wahitaji wengine wakiwemo wa ajali.

0 comments:

Post a Comment