Fahari ya Serengeti

Friday, November 18, 2016

WAZEE WA MILA KOO YA NGOREME WAPIGA MARUFUKU UKEKETAJI

 Baadhi ya wazee wa mila ya koo ya Ngoreme na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa jamii maarufu(Ritongo)katika kijiji cha Mesaga kata ya Kenyamonta wilayani Serengeti ,mbali na kujadili mambo mbalimbali walitoa tamko la kupiga marufuku ukeketaji wa watoto wa kike kwa jamii hiyo,na kuwa watakaokaidi serikali ichukue hatua kali .
 Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Ritongo kijiji cha Mesaga
 Wanafuatilia






 Afisa mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na Amref na Lhrc kwa ufadhili wa UN WOMEN ,William Mtwazi akifafanua hitaji la sheria kwa wanaojihusisha na ukeketaji.


Kamanda wa Upelelezi Makosa ya Jinai wilaya ya Serengeti Alfred Kyebe akielezea umuhimu wa jamii kutii sheria bila shuruti

0 comments:

Post a Comment