Fahari ya Serengeti

Saturday, November 5, 2016

WANACHAMA WA TOUR OPERATOR WAMWAGA MISAADA KUNUSURU WANAFUNZI SERENGETI

 Ded Serengeti Mhandisi Juma Hamsini kulia akimkabidhi magodoro 311 makamu mkuu wa shule ya sekondari Serengeti Juvenary Chacha yaliyotolewa na baadhi ya wanachama wa Chama cha Mawakala wa Utalii Tanzania(Tato)baada ya bweni la shule hiyo kuungua moto na kuteketeza vitu mbalimbali ikiwemo vifaa vya wanafunzi.

Msaada huo ulioombwa na Serengeti media Centre ni pamoja na shula 208,blanketi 208,mito 311 na vyandarua 208 ukiwa na jumla ya thamani ya zaidi ya sh 25 milioni.

Kazi ya kushusha ikiendelea.
 Wanafunzi wakishiriki katika kushusha.


 Makabidhiano ya shuka

 Wanafunzi wakishuhudia kazi ya ushushaji wa msaada



Mwisho Ded alitoa onyo kwa watakaotumia vibaya msaada huo.

0 comments:

Post a Comment