Fahari ya Serengeti

Wednesday, November 23, 2016

WATU WAWILI WADAIWA KUUAWA NDANI YA HIFADHI YA SERENGETI

 BBaadhi ya wakazi wa kijiji cha Mbirikiri kata ya Sedeko wilayani Serengeti wakilia kwa uchungu kufuatia taarifa za watu wawili wakazi wa kijiji hicho kudaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakati wanawinda ,na mmoja kujeruhiwa ,hata hivyo juhudi za kupata miili ya watu wanaodhaniwa kuuawa hazijazaa matunda baada ya kukuta mizoga ya nyati na viatu vya mmoja wa watu hao katika eneo la tukio,uchunguzi wa tuki unaendelea.

 Mbunge wa jimbo la Serengeti Marwa Ryoba akiwapa pole wakazi wa kijiji Mbirikiri kuhusiana na taarifa ya maafa ya watu wawili na mmoja kujeruhiwa ambaye pia anashikiliwa na jeshi la polisi.



0 comments:

Post a Comment