Fahari ya Serengeti

Wednesday, November 9, 2016

WAKAZI WA KENOKWE WILAYANI SEENGETI WACHUKUA UAMZI WA KUKATAA UKEKETAJI

 Wanapata elimu
 Wasanii nao wakielimisha kwa njia ya sanaa
 William Mtwazi ni Mwanasheria toka LHRC ambaye pia ni afisa mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti akitoa ufafanuzi wa vifungu vya sheria kwa wanaojihusisha na ukeketaji kuwa ni kinyume na Kanuni ya Adhabu Namba 169(A)na sheria ya Mtoto Namba 21 ya mwaka 2009.
 Kiongozi wa Saiga Konokwe akitoa maelezo kwa wanasaiga wenzake kuachana na ukeketaji.
 Elimu ,walipo imewafikia.





 Wasanii hawakubaki nyuma

0 comments:

Post a Comment