Fahari ya Serengeti

Tuesday, November 1, 2016

KOO YA INCHUGU YASEMA UKEKETAJI BASI

Wazee wa mila wa  koo ya Inchugu wilayani Serengeti wakiwa katika picha pamoja na viongozi wa serikali na taasisi za dini wakati wa mafunzo ya athari za ukeketaji kupiti Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na Amref na LHRC kwa ufadhili wa UN WOMEN ,kwa pamoja wazee wamesema ukeketaji wa watoto wa kike kwao basi kwa kuwa walikuwa hawajui athari zake.
Wakiweka mipango yao ili kutokomeza ukeketaji
Wanajadiliana
Wanafuatilia mada

Dc Nurdin Babu akiwa na baadhi ya viongozi akiwemo Ocd katika mjadala na wazee wa mila ili kuachana na ukeketaji  wa watoto wa kike

Paroko wa Kanisa Katoliki Mugumu Alois Magabe akiwaeleza wazee wa mila kuwan ukeketaji ni dhambi kwa kuwa unasababisha unaondoa kiungo cha mtoto wa kike na hakuna maandiko matakatifu yanayosema mtoto wa kike akeketwe bali wa kiume atahiriwe.




Mwezeshaji akitoa mada


0 comments:

Post a Comment