Fahari ya Serengeti

Sunday, November 27, 2016

AFIA NDANI YA SHIMO LA DHAHABU

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Friday, November 25, 2016

UONGOZI WA KIJIJI CHA MOSONGO SERENGETI WAAHIDI KUWAKAMATA WATAKAOKEKETA WATOTO WA KIKE

Wakazi wa kijiji cha Mosongo kata Mosongo wilayani Serengeti wakifuatilia mada za athari za ukeketaji kutoka kwa wataalam wa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na amref health africa tanzania na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC). Mwenyekiti wa serikali...

Wednesday, November 23, 2016

WATU WAWILI WADAIWA KUUAWA NDANI YA HIFADHI YA SERENGETI

 BBaadhi ya wakazi wa kijiji cha Mbirikiri kata ya Sedeko wilayani Serengeti wakilia kwa uchungu kufuatia taarifa za watu wawili wakazi wa kijiji hicho kudaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakati wanawinda ,na mmoja kujeruhiwa ,hata...

Friday, November 18, 2016

WAZEE WA MILA KOO YA NGOREME WAPIGA MARUFUKU UKEKETAJI

 Baadhi ya wazee wa mila ya koo ya Ngoreme na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa jamii maarufu(Ritongo)katika kijiji cha Mesaga kata ya Kenyamonta wilayani Serengeti ,mbali na kujadili mambo mbalimbali walitoa tamko la kupiga marufuku ukeketaji wa watoto wa...

KANISA LA AGAPE WUEMA SANCTUARY MINISTRIES KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA NA CHUO MUSATI SERENGETI

Diwani wa kata ya kibanchabanche Philemon Chacha(wa pili kushoto)akimuonyesha Askofu mkuu wa Kanisa la Agape Martin Gwila(kushoto) eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya Rufaa. Viongozi wakuu kutoka kanisa la Agape Wuema Sactuary Ministries International wakiwa...