Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...
Sunday, November 27, 2016
Friday, November 25, 2016
UONGOZI WA KIJIJI CHA MOSONGO SERENGETI WAAHIDI KUWAKAMATA WATAKAOKEKETA WATOTO WA KIKE
Wakazi wa kijiji cha Mosongo kata Mosongo wilayani Serengeti wakifuatilia mada za athari za ukeketaji kutoka kwa wataalam wa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na amref health africa tanzania na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC).
Mwenyekiti wa serikali...
Wednesday, November 23, 2016
WATU WAWILI WADAIWA KUUAWA NDANI YA HIFADHI YA SERENGETI
BBaadhi ya wakazi wa kijiji cha Mbirikiri kata ya Sedeko wilayani Serengeti wakilia kwa uchungu kufuatia taarifa za watu wawili wakazi wa kijiji hicho kudaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakati wanawinda ,na mmoja kujeruhiwa ,hata...
Friday, November 18, 2016
WAZEE WA MILA KOO YA NGOREME WAPIGA MARUFUKU UKEKETAJI
Baadhi ya wazee wa mila ya koo ya Ngoreme na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa jamii maarufu(Ritongo)katika kijiji cha Mesaga kata ya Kenyamonta wilayani Serengeti ,mbali na kujadili mambo mbalimbali walitoa tamko la kupiga marufuku ukeketaji wa watoto wa...
KANISA LA AGAPE WUEMA SANCTUARY MINISTRIES KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA NA CHUO MUSATI SERENGETI
Diwani wa kata ya kibanchabanche Philemon Chacha(wa pili kushoto)akimuonyesha Askofu mkuu wa Kanisa la Agape Martin Gwila(kushoto) eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya Rufaa.
Viongozi wakuu kutoka kanisa la Agape Wuema Sactuary Ministries International wakiwa...