Fahari ya Serengeti

Thursday, April 26, 2018

UPANDAJI MITI SERENGETI WASHIKA KASI

 Das Serengeti Cosmas Qamara akipanda mti ikiwa ni mkakati wa wilaya hiyo kuhakikisha wanapanda miti 1.5 mil kama ilivyoagizwa na Makamu wa Rais na pia miti 100,000 agizo la mkuu wa Mkoa huo,wilaya hiyo ndiyo iliyobaki na mistu mingi kwa mkoa huo na huzalisha mkaa unatumika ndani na nje ya mkoa wa Mara kinyamera.
 Ofisa uhamiaji wilaya Henry akipanda mti
 Mkurugenzi wa Tumaini Jema akipanda mti
 DSO Molel naye ameshiriki
 Mkuu wa Gereza mahabusu akiwajibika katika utunzaji wa mazingira
 Afisa vijana hakubaki nyuma
 Wataalam mbalimbali wameshiriki
 Msisitizo wa utunzaji miti iliyopandwa ukatolewa
 Afisa habari ni miongoni mwa walioshiriki kupanda miti
Maelekezo yakatolewa

0 comments:

Post a Comment