Fahari ya Serengeti

Thursday, April 26, 2018

CHANJO YA SARATANI YA KIZAZI YAZINDULIWA

 Ded Serengeti Juma Hamsini amezindua chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi kwa watoto wa kike wenye umri wa miaka 14 huku akihimiza wazazi kuruhusu watoto waweze kupata chanjo hiyo muhimu kwa afya zao.
 Nyachamba Mlaga akitoa chanjo
 Wanafunzi wa Little Flower wakiwa wamekaa wakisubiri utaratibu wa chanjo


0 comments:

Post a Comment