Magari mawili yametolewa na Frankfurt Zoloogical Society imetoa magari mawili kwa Senapa na Ikona kwa ajili ya kuboresha utendaji na kuimarisha doria ili kupunguza migogoro kati ya wananchi na wanyama katika maeneo ya vijiji vinavyounda jumuiya hiyo wilayani Serengeti.
Mkurugenzi...
Wednesday, May 31, 2017
Friday, May 26, 2017
MCHIMBAJI DHAHABU MMOJA AFA WAWILI WANUSURIKA
Ndugu na jamaa wa Mwita Gugwe Mkazi wa kijiji cha Mrito wilayani Tarime wakilia baada ya kufika katika mgodi wa kienyeji wa wachimbaji wadogo kijiji cha Merenga wilayani Serengeti alikofia kufuatia kuangukiwa na kifusi wakati wanachimba dhahabu,watu wawili wamenusurika...
Thursday, May 18, 2017
WAJITOKEZA KUPIMA AFYA NA KUTOA DAMU
Wakazi wa Mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti wamejitokeza kwa wingi kupima afya zao na kutoa damu kwa hiari chini ya uratibu wa Jopo la Wauguzi wilayani hapa,
Wananchi wanatakiwa kujitokeza kuchangia damu kwa hiari kwa kuwa hospitali Teule ya Nyerere na maeneo...
WAZEE WA MILA KOO SITA WASAINI MAKUBALIANO YA KUACHA UKEKETAJI SERENGETI
Baadhi ya wazee wa mila wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin babu na viongozi wengine baada ya kikao maalum ambacho kimeshirikisha Koo za Inchage,Inchugu,Watatoga,Wangoreme,Wakenye na Warenchoka na wamesaini makubaliano ya kuacha ukeketaji...