Fahari ya Serengeti

Wednesday, May 31, 2017

FRANKFURT YATOA MAGARI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SH 150 MIL KWA SENAPA NA IKONA

 Magari mawili yametolewa na Frankfurt Zoloogical Society imetoa magari mawili kwa Senapa na Ikona kwa ajili ya kuboresha utendaji na kuimarisha doria ili kupunguza migogoro kati ya wananchi na wanyama katika maeneo ya vijiji vinavyounda jumuiya hiyo wilayani Serengeti.  Mkurugenzi...

Friday, May 26, 2017

MCHIMBAJI DHAHABU MMOJA AFA WAWILI WANUSURIKA

 Ndugu na jamaa wa Mwita Gugwe Mkazi wa kijiji cha Mrito wilayani Tarime wakilia baada ya kufika katika mgodi wa kienyeji wa wachimbaji wadogo kijiji cha Merenga wilayani Serengeti alikofia kufuatia kuangukiwa na kifusi wakati wanachimba dhahabu,watu wawili wamenusurika...

Thursday, May 18, 2017

WAJITOKEZA KUPIMA AFYA NA KUTOA DAMU

 Wakazi wa Mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti wamejitokeza kwa wingi kupima afya zao na kutoa damu kwa hiari chini ya uratibu wa Jopo la Wauguzi wilayani hapa,  Wananchi wanatakiwa kujitokeza kuchangia damu kwa hiari kwa kuwa hospitali Teule ya Nyerere na maeneo...

WAZEE WA MILA KOO SITA WASAINI MAKUBALIANO YA KUACHA UKEKETAJI SERENGETI

Baadhi ya wazee wa mila wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin babu na viongozi wengine baada ya kikao maalum ambacho kimeshirikisha Koo za Inchage,Inchugu,Watatoga,Wangoreme,Wakenye na Warenchoka na  wamesaini makubaliano ya kuacha ukeketaji...