Das Serengeti Cosmas Qamara akipanda mti ikiwa ni mkakati wa wilaya hiyo kuhakikisha wanapanda miti 1.5 mil kama ilivyoagizwa na Makamu wa Rais na pia miti 100,000 agizo la mkuu wa Mkoa huo,wilaya hiyo ndiyo iliyobaki na mistu mingi kwa mkoa huo na huzalisha mkaa unatumika...
Thursday, April 26, 2018
CHANJO YA SARATANI YA KIZAZI YAZINDULIWA
Ded Serengeti Juma Hamsini amezindua chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi kwa watoto wa kike wenye umri wa miaka 14 huku akihimiza wazazi kuruhusu watoto waweze kupata chanjo hiyo muhimu kwa afya zao.
Nyachamba Mlaga akitoa chanjo
Wanafunzi wa Little...
KWAYA YA MT.MARIA YAKONGA NYOYO ZA WAUMINI
Kwaya ya Mt.Maria Mama wa Mungu Parokia ya Mugumu Jimbo Katoliki Musoma imekonga nyoyo za waumini kwa kuimba nyimbo zenye ujumbe mzito wakati wa Misa ya Ufunguzi wa Nyumba ya Tafakuri Parokia ndogo ya Serengeti iliyoongozwa na Baba Askofu Michael Msonganzila.
Askofu...
KANISA KATOLIKI KUITANGAZA HIFADHI YA SERENGETI
Askofu wa Jimbo Katoliki Musoma Michael Msonganzila amesema kanisa hilo limeanzisha mpango mahsusi wa kutangaza hifadhi ya Taifa ya Serengeti kwa kuwa ni uumbaji wa Mungu alioufanya kwa makusudi ambao unatakiwa kuenziwa na kila mtu.
Akizindua nyumba ya Tafakuri itakayotumika...
Tuesday, April 17, 2018
JENGA HOSPITALI KWA SH 1000 YAZIDI KUCHANJA MBUGA
Ded Serengeti Juma Hamsini akiunga mkono Kauli mbiu ya Jenga Hospitali kwa sh 1000 kwa kutoa sh 1000,000 muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Gaudensia Kabaka kumaliza kukagua ujenzi wa hospitali hiyo na kuwasilisha ahadi yake ya Tsh 1 mil aliyotoa wakati...
MWENYEKITI UWT ASHIRIKI UPANDAJI MITI
Mwenyekiti wa UWT Taifa Gaudensia Kabaka akipanda mti katika hospitali ya wilaya ya Serengeti wakazi wa ziara yake ya kukagua shughuli za ujenzi na kushiriki katika kutekeleza kauli mbiu ya Jenga Hospitali kwa sh 1000.
Upandaji wa miti katika hospitali hiyo kunalenga...
MKT UWT TAIFA AKAGUA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA SERENGETI
Mwenyekiti wa UWT Taifa Gaudensia Kabaka akiwa na viongozi mbalimbali wa wilaya ya Serengeti na Mkoa wa Mara wakati anakagua Ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara inayojengwa na nguvu za wananchi na wadau mbalimbali kupitia kampeini ya Jenga Hospitali...
Sunday, April 8, 2018
ALIYEEZUA NYUMBA AKISHINIKIZA MKE KUHAMA AFUNGWA

Isaya Petro Mkazi wa Mtaa wa Chamoto kata ya Stendi Kuu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara amehukumiwa kifungo cha nje cha mwaka mmoja kwa kosa la kuharibu mali,ametakiwa kutengeneza nyumba alizoharibu na asipatikane na kosa lolote.
Aprili 6 mwaka huu Isaya aliezua mabati...