Fahari ya Serengeti

Wednesday, July 22, 2015

UCHAGUZI CHADEMA SERENGETI

 Wajumbe wa Bawacha wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiwa kwenye ukumbi kabla ya uchaguzi wa viti maalum
 wanasubiri kuanza kupiga kura
 Catherine Ruge akiomba kura ,alichaguliwa ubunge viti maalum kutoka jimbo hilo kwa kura 111
 Ukaguzi kabla ya kuingia ukumbini
 Msimamizi wa uchaguzi wa ubunge jimbo la Serengeti akitoa utaratibu
 Mwenyekiti wa chadema wilaya Manawa Saguda
 Akitoa utaratibu
 wanachama wakiwa nje ya ukumbi wa kanisa katoliki Mugumu kwa ajili ya kuingia
 Wajumbe walipokuwa wakimaliza kupiga kura wanaenda kura,hapo wamejipanga kwa ajili ya chakula
 wanapiga kura
 wagombea wakiwa wameshikilia namba zao
 Marwa Ryoba baada ya kuibuka mshindi
 Anapongezwa
 Msimamizi akihitimisha mchakato huo
 Msimamizi msaidizi akitoa nasaha
 Zoezi la kuhesahu likiendelea
 Nimeshinda ,hongereni wajumbe anaonekana akisema Ryoba
 Wanachama wanashangilia ushindi wa Ryoba
 Joh Mrema aliyepata kura moja akishukuru wajumbe
 Wagombea wakiwa pamoja ,hata hivyo Ramso Rutiginga alikimbia matokeo
 Mambo yalikuwa kama hivyo
Hongereniii

0 comments:

Post a Comment