Fahari ya Serengeti

Thursday, July 30, 2015

CHUO CHA UTALII SERENGETI

Meneja wa Sabora iliyoko chini ya Kampuni ya Singita Grumeti Reserves na Fund wilayani Serengeti Mkoa wa Mara Wilson Ogembo akifungua jengo la Utawala chuo cha Utalii Serengeti(SETCO)ambalo kampuni hiyo ilichangia sh 19.5 milioni,anayepiga makofi ni Kaimu Mkuu wa chuo hicho Samwel Peter.
Mara baada ya ufunguzi .

Wilson akijiandaa kukata utepe kwa ajili ya kufungua jengo hilo liweze kutumika
Anakata utepe


Wanachuo wa chuo hicho na walimu wakiwa wamekaa wakifuatilia matukio yanayoendelea ya ufunguzi wa jengo la Utawala.

Wanafuatilia
Samweli Mewama mjumbe wa bodi ya chuo hicho akifungua bahasha kutoa zawadi kwa mgeni rasmi baada ya kazi ya kuzindua jengo hilo.


Cheti maalum kwa kampuni ya Singita Grumeti Reserves na Fund kwa mchango wao mkubwa wa kuwezesha ujenzi wa jengo hilo.
Vinywaji na karanga zilikuwepo kwa wageni

Wilson akishukuru uongozi wa chuo hicho kwa kutambua mchango wao mkubwa walioutoa

0 comments:

Post a Comment