Fahari ya Serengeti

Friday, July 31, 2015

CHANJO YA KICHAA CHA MBWA

 Baadhi ya watoto wakiwa wamekaa na mbwa wao wakisubiri wataalam kwa ajili ya chanjo ya kichaa cha mbwa zoezi limefanyika kwenye uwanja wa Sokoine mjini Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara.
 Wanasubiri
 Kila mtu na mbwa wake
 Kama ilivyokuwa wakati wa BVR watu wanapanga mistari hali kadharika chanjo ya mbwa watu wanalazimika kupanga mistari kama inavyoonekana
 Amesheheni ulinzi kila upande kama inavyoonekana hapo.

 Ili kuepuka ugomvi kila mmoja analazimika kumshikilia kwa makini mbwa wake.
 Wamewadhibiti








0 comments:

Post a Comment