Fahari ya Serengeti

Saturday, July 25, 2015

SINGITA GRUMETIRESERVES NA FUND YATOA VIFA VYA AFYA NATTA

Mganga wa zahanati ya Kampuni ya Singita Grumeti Reserves na Fund iliyoko Kata ya Natta wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Francis Muruthi akitoa taarifa fupi kabla ya kukabidhi vifaa vya afya kwa kituo cha afya cha Natta.

Viongozi mbalimbali wa serikali na Kampuni hiyo waliohudhuria makabidhiano ya vifaa hivyo,mashine ya Oxygen na magodoro sita
Mganga Mfawidhi wa Kituo hicho Busima akitoa maelezo ya kituo hicho kwa viongozi wa serikali .
Meneja raslimali watu wa kampuni ya Singita Grumeti Reserves na Fund Angela Msechu akitoa maelezo nini wanafanya kwa jamii katika kuboresha huduma za jamii.
Anasisitiza
Anasema msaada huo una thamani ya zaidi ya sh 5.7 milioni unalenga kuboresha huduma za afya katika kituo hicho.

Katibu Tawala wilaya ya Serengeti Cosmas Qamara akiangalia mashine ya Oksijen baada ya kukabidhiwa.
Asante sana ni kauli ya mganga mfawidhi wa kituo cha afya Natta Busima akimwambia Angela Msechu baada ya kukabidhiwa magodoro sita na mashine ya Oksijeni.
Katibu tawala anasaini hati ya makabidhiano
Angela anasaini pia hati ya makabidhiano.
Anasisitiza umuhimu wa kuboresha huduma za afya.

0 comments:

Post a Comment