Fahari ya Serengeti

Sunday, January 11, 2015

VICOBA MOROTONGA WANUFAIKA NA MFUKO WA JIMBO LA SERENGETI

 Wanachama wa vikundi vinne vya Vicoba kata ya Morotonga wilaya ya Serengeti wakiwa wamekaa wakisubiri utaratibu wa kupokea sh 1 milioni kutoka mfuko wa jimbo,ambapo kwa kila kikundi wamepata sh 250,000
 wakiwa pamoja katika eneo la ofisi ya CCM ambayo pia hutumiwa na mtendaji wa kata hiyo.
 kabla ya kupewa kiasi hicho cha fedha walitakiwa kusaini kupokea
 Utaratibu unaendelea.
 Vikundi hivyo vina jumla ya wanachama 120

 Mwenyekiti wa kitongoji cha Morotonga Bruno akifungua kikao
 Afisa mtendaji wa kata hiyo Paulo Wangwe akitoa ufafanuzi wa fedha hizo na angalizo kwa wanufaika

 Katibu wa mbunge wa jimbo la Serengeti Gabriel Mwita akiwasainisha viongozi wa vikundi vilivyopata msaada huo kabla ya kuwapa fedha hizo
 Mwenyekiti wa kikundi cha Mkulima Theresia Charles akisaini kupokea kiasi cha sh 250,000 kwa niaba ya wanachama 30
 Wanasaini


 Anashukuru kwa niaba ya wenzake
 Wakiwa katika picha ya pamoja
Picha ya pamoja

0 comments:

Post a Comment