Fahari ya Serengeti

Tuesday, January 27, 2015

Mmoja afa wanne wajeruhiwa

mmoja wa majeruhi katika ajali iliyohusisha gari la kampuni ya Grumet Fund wakati wanatoka kazini ,mlango wa roli lililokuwa limewabeba ukafunguka ,mmoja amekufa na wanne wako hospitali  Teule ya wilaya ya Serengeti akisaidia na ndugu zake ,hata hivyo amepelekwa hospitali ya rufaa ya Bugando kwa matibabu zaidi.

0 comments:

Post a Comment