Fahari ya Serengeti

Tuesday, January 27, 2015

Mmoja afa wanne wajeruhiwa ajali ya roli

 Majeruhi Mussa Ramadhani mkazi wa kijiji cha Makundusi wilaya ya Serengeti akiwa hospitali Teule ya wilaya ya Nyerere akiuguza majeraha kufuatia ajali ya roli walilokuwa wamepanda la kampuni ya Singita Grumeti kufunguka mlango wa pembeni wakati likiwa mwendo kasi na kuanguka,mmoja kati yao amefariki.
 majeruhi
 Mmoja wa majeruhi
 Majeruhi
 Majeruhi huyo amepelekwa hospitali ya rufaa ya Bugando kwa matibabu zaidi kutokana na kuteguka nyonga ya kiuno
 Majeruhi akiwa na baba yake hospitali Teule ya Nyerere wilaya ya Serengeti

0 comments:

Post a Comment