Fahari ya Serengeti

Friday, January 30, 2015

MATUKIO YA UCHAGUZI WA MKT/MAKAMU MAMLAKA YA MJI WA MUGUMU-SERENGETI.

 AFISA MTENDAJI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO WAMUGUMU -SERENGETI MAGINA NYIGANDA AKITOA UFAFANUZI NAMNA YA UPIGAJI KURA.  WAJUMBE VITI MAALUM WA MAMLAKA HIYO WAKILA KIAAPO KABLA YA KUANZA UCHAGUZI.  TUMAINI NYAMHOKYA MWANASHERIA WA HALMASHAURI AKIONGOZA...

Tuesday, January 27, 2015

Mmoja afa wanne wajeruhiwa

mmoja wa majeruhi katika ajali iliyohusisha gari la kampuni ya Grumet Fund wakati wanatoka kazini ,mlango wa roli lililokuwa limewabeba ukafunguka ,mmoja amekufa na wanne wako hospitali  Teule ya wilaya ya Serengeti akisaidia na ndugu zake ,hata hivyo amepelekwa hospitali...

USAFIRISHAJI MIZIGO

 NG'OMBE WAKIKATIZA MJINI MUGUMU WILAYA YA SERENGETI WAKIWA NA SHEHENA YA VITI NA BIA,TOFAUTI NA KULIMA HUTUMIKA PIA KUSOMBA MIZIGO  USAFIRISHAJI ...

Mmoja afa wanne wajeruhiwa ajali ya roli

 Majeruhi Mussa Ramadhani mkazi wa kijiji cha Makundusi wilaya ya Serengeti akiwa hospitali Teule ya wilaya ya Nyerere akiuguza majeraha kufuatia ajali ya roli walilokuwa wamepanda la kampuni ya Singita Grumeti kufunguka mlango wa pembeni wakati likiwa mwendo kasi na...

Sunday, January 25, 2015

RIPOTI MAALUM: Wanafunzi shule ya msingi washiriki ujangili

v\:* {behavior:url(#default#VML);} o\:* {behavior:url(#default#VML);} w\:* {behavior:url(#default#VML);} .shape {behavior:url(#default#VML);} Normal 0 false false false false EN-US X-NONE X-NONE ...