Fahari ya Serengeti

Tuesday, April 18, 2017

UTALII WA NDANI

Baadhi ya watalii wakiwa ndani ya Serengeti Ballon Safari's wakifanya utalii ndani yahifadhi ya Taifaya Serengeti.  Tembo ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti  Punda milia na wanyama wengine wakiwa ndani ya hifadhi ya Serengeti.  Viboko wakiwa ndani...

Saturday, April 15, 2017

WAWILI WAFA NA MMOJA KUNUSURIKA WAKATI WAKICHIMBA DHAHABU

Watu wawili wamekufa na mmoja kunusurika baada ya kuangukiwa na kifusi wakati wakichimba dhahabu katika kijiji cha Merenga kata ya Nyansurura wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara. Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu amethibitisha kutokea kwa vifo na majeruhi aprili 15 majira ya saa 3 asubuhi katika kitongoji cha Senta kijijini hapo mwaka huu ,baada...

Friday, April 14, 2017

WAUMINI KANISA KATOLIKI MUGUMU WAADHIMISHA KWA KUMBUKUMBU YA MATESO YA YESU KWA MAANDAMANO

 Waumini wa kanisa Katoliki Mugumu waadhimisha kumbukumbu ya Mateso ya Yesu kwa njia ya maandamano.  Wanasikiliza neno katika moja ya Kituo cha njia ya Msalaba  Wanawito wakiongoza maandamano.  Na wanafunzi wa Little...

TYCS PAROKIA YA MUGUMU BAADA YA SEMINA WAPANDA MITI KUTUNZA MAZINGIRA

 Katekista Anthony Marwa wa Parokia ya Mugumu wilaya ya Serengeti kushoto akiwa na baadhi ya vijana wa TYCS toka Serengeti Sekondari na Chuo cha Ufundi  cha Chipuka wakipanda miti kwa ajili ya kuendelea kutunza mazingira ya kanisa ,kazi hiyo wameifanya baada ya kumaliza...