Mpambano wa Imara Fc na Burunga kufanyika uwanja wa Sokoine mjini Mugumu wilayani Serengeti
...
Saturday, July 23, 2016
DC Serengeti atoa siku tano chanzo cha maji cha zamani kianze kutoa huduma ya maji kwa hospitali na kwa jamii wakati wanarekebisha mfumo wa umeme manchira
Dc Serengeti Nurdin Babu atoa siku tano kwa Mamlaka na idaraya maji kufufua chanzo cha zamani cha maji ili kianze kutoa huduma hospitali na kwa jamii wakati wanaendelea na marekebisho ya mfumo wa umeme kwenye pampu ya maji bwawa la Manchira.
Kwa mjibu wa agizo hilo lililotolewa...
MAGETA FC YAZIDI KUFANYA MAANGAMIZI YAIBAMIZA BOKORE FC MABAO 5-0 LIGI YA UMOJA SERENGETI
Mshambuliaji wa timu ya Mageta Fc mwenye jezi nyekundu akimtoka mlinzi wa timu ya Bokore Fc wakati wa mchuano wa ligi ya Umoja kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine Mjini Mugumu wilayani Serengeti,Mageta waliwashikisha adabu Bokore kwa kuwachabanga magoli 5-0
Wachezaji...
Wednesday, July 20, 2016
LIGI YA UMOJA CUP YAZIDI KUPAMBA MOTO UWANJA WA SOKOINE MUGUMU SERENGETI
Timu ya Kibeyo Fc ikimenyana na Burunga Fc katika ligi ya Umoja Cup iliyoandaliwa na Serengeti Media Centre,Magoiga na Mageta mshindi wa Kwanza anapata Ng'ombe,wa pili mbuzi na wa tatu Mpira,katika mtonange huo Kibeyo waliibuka washindi kwa magoli 2-0.
...
BAADHI YA HUDUMA ZA MATIBABU HOSPITALI TEULE YA NYERERE ZASITISHWA KUTOKANA NA TATIZO LA MAJI
Baadhi ya wagonjwa na ndugu zao wakilalamikia mfumo mbovu wa hospitali kuwatoza fedha wakati wakijua baadhi ya huduma za matibabu zimesitishwa kwa ukosefu wa maji.
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...
SERENGETI CULTURE FESTIVAL YAZINDULIWA
Mkurugenziwa Tanapa Allan Kijazi kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Serengeti Arts Group Paulina Boma wakati akikagua mabanda ya wajasiliamali,taasisi za umma na binafsi wakati wa tamasha la Serengeti...
Thursday, July 7, 2016
KAZI YA KUFUNGA PAMPU BWAWA LA MANCHIRA IMEKAMILIKA NA SASA MAJI YAANZA KUTOKA MJINI
Mafundi kutoka Muwasa na Muguwasa wakiwa kwenye mtumbwi wakisafirisha Pampu kuelekea eneo la kufunga katika bwawa la Manchira wilayani Serengeti,kazi hiyo ilifanyika kwa siku mbili hatimaye na kufaulu kuwasha mashine na maji kuanza kutoka katika baadhi ya maeneo Kwa...