Fahari ya Serengeti

Monday, May 2, 2016

SINGITA GRUMETI RESEARVES WASAIDIA NYUMBA SALAMA MAGODORO

Baadhi ya wasichana waliohifadhiwa katika kituo cha Nyumba Salama Wilayani Serengeti wakitelemsha magodoro  15 yenye thamani ya zaidi ya sh 1.7 milioni yalitolewa na kampuni ya Singita Grumeti Reserves na Fund ,Kituo hicho kinahifadhi wasichana waliokimbia kukeketwa kutoka mikoa ya Mara na Arusha.
Mratibu wa Kituo hicho Rhobi Samwel kulia akijadiliana jambo na Afisa rasilimali watu wa Kampuni ya Singita Grumeti Reseaves na Fund Anjela Msechu
Kazi inaendelea
Mzigo umeishashushwa
Kazi inaendelea
Meneja uhusiano wa kampuni hiyo Ami Seki kulia akimkabidhi magodoro mratibu wa Kituo hicho Rhobi Samwel



Baada ya makabidhiano burudani ilitolewa na watoto hao.


Watu mbalimbali walishiriki hafla fupi ya kupokea magodoro hayo.
Wanajadiliana

1 comment: