Fahari ya Serengeti

Saturday, April 9, 2016

MKUU WA MKOA WA MARA ATOA SALAMU NZITO KWA WATUMISHI MAFISADI,WALA RUSHWA NA WASIWAJIBIKA

Mkuu wa Mkoa wa Mara Magesa Mulongo akiongozana na Mkuu wa wilaya ya Serengeti Ally Mafutah ktkt na kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri Victor Rutonesha wakati wanaelekea ukumbi wa Mkutano wa halmashauri  ya wilaya ya Serengeti
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Serengeti wakiwa wamesimama wakisubiri Mkuu wa Mkoa ashule tayari kwa kuelekea uwanjani
Wanajadiliana
Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Victor Rutonesha akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha dc kwa ajili ya kutoa taarifa ya wilaya.

Watumishi wa halmashauri,taasisi za serikali na zisizo za serikali,wadau wa maendeleo wakimsikiliza Rc Mara wakati wa kikao chake cha kwanza cha utambulisho kilichokwenda na maagizo mazito kwa watendaji na madiwani
Wanafuatilia
Wanafuatilia mjadala

DC akitoa taarifa ya wilaya
Kila mmoja alilazimika kuandika mambo yanayomgusa ili aweze kuchukua hatua kwa kuwa utendaji wa mazoea hauna nafasi tena .

RC mara akitoa maagizo kwa watendaji,wawakilishi na dau wengine
Hata hawa walikuwepo

0 comments:

Post a Comment