Fahari ya Serengeti

Saturday, November 14, 2015

MITARO YA BARABARA YA MUGUMU MJINI SERENGETI YAENDELEA KUTESA MADREVA.

 moja ya gari lililokwama katika mtaro wa barabara inayojengwa kwa kiwango cha Lami Mugumu mjini,eneo hilo lililo karibu na hoteli ya Kirawira limegeuka kero kwa madreva wa magari,boda boda na watembea kwa miguu






Gari la hifadhi ya Taifa ya Serengeti likivutwa na Noah baada ya kukwama katika mtaro wa barabara ya Mugumu mjini inayojengwa na kampuni ya Samotta kwa kiwango cha lami.

0 comments:

Post a Comment