Fahari ya Serengeti

Saturday, November 14, 2015

DIWANI MTEULE WA KATA YA MOSONGO SERENGETI(CHADEMA)AANZA KUTEKELEZA AHADI KABLA YA KUAPISHWA


 Diwani wa kata Mosongo Samson Mrimi(Chadema)akimwangalia fundi baada ya kugharamia matengenezo ya kisima cha maji  Kenokwe ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyotoa kwa wananchi wakati wa kampeini kilichoharibika toka mwezi julai mwaka huu,picha zote ni kwa hisani ya Serengeti Media Centre


0 comments:

Post a Comment