Fahari ya Serengeti

Sunday, March 27, 2016

WANANCHI WAJITOKEZA KUFANYA USAFI MAKABURINI MUGUMU

 Baadhi ya wakazi wa mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiendelea na zoezi la usafi wa makaburi,ikiwa ni katika kutekeleza agizo la Rais Dk John Magufuli kuwa kila jumamosi ya mwisho wa mwezi ni siku ya usafi
 Eneo la makaburi lilikuwa limegeuka vichaka vya waharifu,kupitia mkakati huo itasaidia eneo hilo kuwa safi
 Baadhi ya wakazi wa mji wa Mugumu wakiwa wamepumzika juu ya makaburi baada ya kufanya kazi ya kufyeka eneo hilo.
 Kazi ya kufyeka inaendelea

 Hapa kazi tu kila mmoja anaonekana anaendelea na kazi

 Kazi hiyo ilijumuisha watu wa rika mbalimbali




 Hata wanawake walishiriki kufanya usafi hamsini kwa hamsini .
 Hamsini kwa hamsini ilikuwepo



0 comments:

Post a Comment