Fahari ya Serengeti

Sunday, March 27, 2016

MATUKIO YA MKESHA WA PASAKA PAROKIA YA MUGUMU SERENGETI

 Kwaya ya Mtakatifu wa Asizi Parokia ya Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakihubiri kwa njia ya nyimbo wakati wa misa ya mkesha wa Pasaka.
 Paroko wa kanisa Katoliki ya Mugumu Alois Magabe wakati wa ibada ya mkesha wa pasaka
 Wanakwaya wakati wa maombi

 Hongera umebatizwa anaonekana katekista Anthony Marwa anampongeza mmoja wa waumini waliobatiwa katika ibada hiyo.
 Padri Japhet Mwaya akiwa na mshumaa wa pasaka
 Hongera kwa ubatizo


 Mzee Japhet Mwiturubani (99)alibatizwa na kisha kufunga ndoa na mke wake






0 comments:

Post a Comment