Wakazi wa Mtaa wa Bomani mjini Mugumu wilayani Serengeti wakiendefanya usafi wa mazingira
Hata watoto wameshiriki
USAFU USAFI KILA KONA
...
Saturday, January 30, 2016
WALIMU WAKUU WA SHULE ZA MSINGI NA WARATIBU ELIMU KATA WATAKIWA KUTUMIA FEDHA ZILIZOTOLEWA KWA KUZINGATIA MWONGOZO WA SERIKALI
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Naomi Nnko akisisitiza walimu wakuu na waratibu elimu kata kutumia fedha zilizotolewa kwa kuzingatia miongozo ya serikali,atakayekiuka atachukuliwa hatua kali,kushoto ni afisa elimu wilaya William Mabanga na kulia...
Thursday, January 21, 2016
MWANAFUNZI TWIBHOKI ANG'ARA KITAIFA DARASA LA NNE
Mwalimu wa darasa la nne shule ya Awali,Msingi na Sekondari ya Twibhoki wilayani Serengeti Mkoa wa Mara Thobias Magesa akimpongeza Frank Mugeta(12)aliyeongoza kitaifa mtihani wa darasa la nne mwaka 2015,ikiwa ni mwendelezo wa shule hiyo kufanya vizuri kwenye mitihani...