Fahari ya Serengeti

Sunday, March 27, 2016

WANANCHI WAJITOKEZA KUFANYA USAFI MAKABURINI MUGUMU

 Baadhi ya wakazi wa mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiendelea na zoezi la usafi wa makaburi,ikiwa ni katika kutekeleza agizo la Rais Dk John Magufuli kuwa kila jumamosi ya mwisho wa mwezi ni siku ya usafi  Eneo la makaburi lilikuwa limegeuka vichaka...

MATUKIO YA MKESHA WA PASAKA PAROKIA YA MUGUMU SERENGETI

 Kwaya ya Mtakatifu wa Asizi Parokia ya Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakihubiri kwa njia ya nyimbo wakati wa misa ya mkesha wa Pasaka.  Paroko wa kanisa Katoliki ya Mugumu Alois Magabe wakati wa ibada ya mkesha wa pasaka  Wanakwaya wakati wa maombi  Hongera...

Saturday, March 26, 2016

ZIARA YA MAFUNZO WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI GIBASO -TARIME NA MERENFA -SERENGETU FOUR SEASON SAFARI'S LTD YAWAKUNA WANAFUNZI

Viongozi wa hifadhiya Taifa ya Serengeti,hoteli ya Four Season Safari's Ltd wakiwa pamoja na wanafunzi sita na mwalimu kutoka shule ya Msingi Gibaso wilaya ya Tarime ambao walifanya vizuri kwenye mtihani wa kumaliza mwaka 2015,Hifadhi ya Senapa kwa kushirikiana na Hoteli hiyo...