Fahari ya Serengeti

Tuesday, October 13, 2015

PICHA ZA MATUKIO MKUTANO WA KAMPEINI CCM -SERENGETI

 Wanachama na mashabiki wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakimsubiri Mwigulu Nchemba kwenye mkutano wa Kampeini wa kuwaombea kura wagombea wa chama hicho kwenye Uwanja wa Mbuzi mjini Mugumu.



 Wenye kupiga picha walipiga,kuimba na kucheza nao walikuwepo
 Helkopita ikutua uwanja wa NHC mjini Mugumu

 Wanafuatilia matukio hatua kwa hatua
 Hapa kazi tu wanaendelea

 Mwigulu alimwaga sera na kuwaombea kura wagombea wa chama hicho.
 kila mmoja alifika kivyake,wenye ujumbe haya ,wenye mabango nao hawakukosekana kama inavyosomeka hapo.
 SImu za mchina zinaendelea kuchukua kumbukumbu
 Ulinzi uliimarishwa






 Dk Anthony Dialo akimnadi mgombea ubunge viti maalum
Mgombea udiwani kata ya Mugumu naye aliomba kura

0 comments:

Post a Comment