Fahari ya Serengeti

Saturday, October 10, 2015

MATUKIO YA MKUTANO WA KAMPEINI WA LOWASSA SERENGETI

 Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema anayeundwa na vyama vinavyounda katiba ya Wananchi,Ukawa Edward Lowassa akielezea sera za chama chake wakati wa mkutano wa kamepini Uwanja wa Sokoine Mugumu wilayani Serengeti.
 Ana nadi sera zake
 Wananchi wakiwa kwenye Mkutano huo.
 Mgombea Urais akimnadi mgombea Ubunge katika jimbo hilo Marwa Ryoba
 Mtampa kura........
 Polisi wakiwa katika ubora wao kuhakikisha hakina rabsha katika mkutano huo .
 Wapiga picha nao walikuwepo
 Ni utulivu tu hapa
 Anawanadi Madiwani











 Mwangalizi wa uchaguzi toka Temco akiulizia jambo
 Mara baada ya mkutano tayari kwa safari ya kuelekea Nyamongo

 Umati wa wananchi wakiwa katika ubora wao











 Wakiingia jukwaa kuu
 Haya nayo yalikuwepo
 Ulinzi uliimarishwa kila kona







0 comments:

Post a Comment