Wakazi wa mjini Mugumu wilaya Serengeti wakiserebuka serebuka baada ya kupokea matokeo ya urais
...
Thursday, October 29, 2015
Tuesday, October 27, 2015
MATOKEO YA UCHAGUZI YA UBUNGE JIMBO LA SERENGETI
Mbunge mteule wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba akifuatilia ujumlishaji wa kura.
Dk Stephen Kebwe akifuatilia ujumlishaji wa kura ,hata hivyo alianguka
...
PICHA ZA MATUKIO YA MATOKEO YA UBUNGE SERENGETI
Askari polisi wakiwa wameimarisha ulinzi kudhibiti wananchi waliokusanyika ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo wakisubiri matokeo ya ubunge ambapo Marwa Ryoba Chadema alimbwanga naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Stephen Kebwe CCM.
Mvua...
Tuesday, October 13, 2015
PICHA ZA MATUKIO MKUTANO WA KAMPEINI CCM -SERENGETI
Wanachama na mashabiki wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakimsubiri Mwigulu Nchemba kwenye mkutano wa Kampeini wa kuwaombea kura wagombea wa chama hicho kwenye Uwanja wa Mbuzi mjini Mugumu.
Wenye kupiga picha walipiga,kuimba na...