Fahari ya Serengeti

Thursday, October 29, 2015

SHAMRA SHAMRA ZA USHINDI WA MAGUFULI SERENGETI

 Wakazi wa mjini Mugumu wilaya Serengeti wakiserebuka serebuka baada ya kupokea matokeo ya urais ...

Tuesday, October 27, 2015

MATOKEO YA UCHAGUZI YA UBUNGE JIMBO LA SERENGETI

 Mbunge mteule wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba akifuatilia ujumlishaji wa kura.  Dk Stephen Kebwe akifuatilia ujumlishaji wa kura ,hata hivyo alianguka ...

PICHA ZA MATUKIO YA MATOKEO YA UBUNGE SERENGETI

 Askari polisi wakiwa wameimarisha ulinzi kudhibiti wananchi waliokusanyika ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo wakisubiri matokeo ya ubunge ambapo Marwa Ryoba Chadema alimbwanga naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Stephen Kebwe CCM.  Mvua...

Tuesday, October 13, 2015

PICHA ZA MATUKIO MKUTANO WA KAMPEINI CCM -SERENGETI

 Wanachama na mashabiki wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakimsubiri Mwigulu Nchemba kwenye mkutano wa Kampeini wa kuwaombea kura wagombea wa chama hicho kwenye Uwanja wa Mbuzi mjini Mugumu.  Wenye kupiga picha walipiga,kuimba na...