Fahari ya Serengeti

Wednesday, March 18, 2015

KIKAO KAZI CHA WARATIBU,WAHASIBU ,MAAFISA UFUATILIAJI WA MPANGO WA TASAF NA WAANDISHI WA HABARI MIKOA YA MWANZA,A NA SIMIYU JIJINI MWANZAMAR


 Waandishi wa habari na waratibu wa mpango wakifuatilia mada ukumbi wa Nyakahoja jijini Mwanza
 Wanasikiliza
 Mratibu wa Tasaf na mhasibu wake toka wilaya ya Serengeti wakifuatilia mada
 Kila mmoja alikuwa makini kusikiliza kama inavyoonekana hapo
 mada zinaendelea
 Kama ilivyoa ada kwa waandishi wa habari kusikiliza na kuandika pointi kama inavyoonekana hapo
 Mkurugenzi Mtendaji wa Tasaf Ladislaus Mwamanga akifungua kikao kazi
 Waandishi wa vyombo mbalimbali wakitimiza wajibu wao
 Nguli Ngesi Mwenyekiti wa mafunzo akitoa shukrani kwa niaba ya waandishi wa habari
 picha ya pamoja tibu ikihusisha Tasaf Makao Makuu na waratibu wa Mpango kutoka wilaya mbalimbali
 Picha ya Pamoja
 Picha inajumuisha waandishi wa habari na uongozi wa Tasaf Makao makuu
 Picha ya pamoja
 Waandishi hasa wapiga picha husahaulika kwenye picha ya Pamoja lakini Blog hii imewakumbuka na kuwapiga picha wakiwa kazini kama inavyoonekana hapo
 Wako kikazi zaidi
 Mkurugenzi wa Tasaf na baadhi ya maafisa wake wakibadilishana mawazo
 Maswali na majibu yanaendelea
Wanaimarisha uhusiano Tasaf na waandishi wa habari

0 comments:

Post a Comment