Mkuu wa Mkoa wa Mara Magesa Mulongo akiongozana na Mkuu wa wilaya ya Serengeti Ally Mafutah ktkt na kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri Victor Rutonesha wakati wanaelekea ukumbi wa Mkutano wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya...
Saturday, April 9, 2016
Saturday, April 2, 2016
KAMPEINI YA UPANDAJI MITI ENEO LA GEREZA MAHABUSU MUGUMU SERENGETI
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Naomi Nnko akipanda mti katika eneo la Gereza Mahabusu,jumla ya miti 375 imepandwa ,wilaya hiyo kwa kipindi cha mwaka 2015/16 imepewa lengo la kupanda miti 1.5 milioni ,hadi sasa miti zaidi ya laki...