Fahari ya Serengeti

Saturday, April 9, 2016

MKUU WA MKOA WA MARA ATOA SALAMU NZITO KWA WATUMISHI MAFISADI,WALA RUSHWA NA WASIWAJIBIKA

Mkuu wa Mkoa wa Mara Magesa Mulongo akiongozana na Mkuu wa wilaya ya Serengeti Ally Mafutah ktkt na kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri Victor Rutonesha wakati wanaelekea ukumbi wa Mkutano wa halmashauri  ya wilaya ya Serengeti Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya...

Saturday, April 2, 2016

KAMPEINI YA UPANDAJI MITI ENEO LA GEREZA MAHABUSU MUGUMU SERENGETI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Naomi Nnko akipanda mti katika eneo la Gereza Mahabusu,jumla ya miti 375 imepandwa ,wilaya hiyo kwa kipindi cha mwaka 2015/16 imepewa lengo la kupanda miti 1.5 milioni ,hadi sasa miti zaidi ya laki...