Fahari ya Serengeti

Friday, June 5, 2015

DIWANI ATOA MSAADA WA VITU

 Wanafunzi wa Kisaka Sekondari wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakichota maji
 Diwani wa kata ya Kisaka Chacha Togocho akiwa katika kikao cha pamoja na wajumbe wa  chama na serikali kutoka kata hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo na kutoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa jamii.
 Diwani akigawa vifaa mbalimbali vya elimu,afya na michezo kwa vijiji vyote vya kata ya Kisaka wilaya ya Serengeti
 Hakikisheni vitu hivi vinatumika vizuri kwa lengo la kunufaisha jamii,anasisitiza,
 Akina mama hawakusahaulika
 pokeeni na mkavitumie vizuri
 Nawapenda sana wananchi wangu anasema diwani
 Michezo ni afya ,vijana chezeni kwa ajili ya kuibua vipaji


 Pokea mpira na sare mkacheze michezo kwa ajili ya afya na kuibua vipaji




0 comments:

Post a Comment