Fahari ya Serengeti

Sunday, June 28, 2015

PICHA ZA MATUKIO SIKU DK WEBIRO ANARUDISHA FOMU

Safari yamkuelekea ofisi ya jimbo la Bunda inaendelea Wenye baiskeli hawakubaki nyuma Hatimaye wakafika ofisi ya jimbo Pambana pambana utafanikiwa Safari ya kutafuta  uwakilishi ina mbinu zake Safari inaendelea Ulinzi uliimarishwa People's anasikika...

Tuesday, June 23, 2015

Sheria za Kimila ‘zaifunika’ Serikali wilayani Serengeti

tangazo linalowazuia zaidi ya watu 200, wakazi wa wilaya hiyo kuingia katika nyumba ya mtu, kuongea na watu waliotengwa au kupata huduma za kijamii kijijini hapo. Tangazo  lililosambazwa  katika Ofisi za Serikali za Kata na maeneo mengine wilayani Serengeti,...

Monday, June 22, 2015

MATUKIO YA MAUAJI,UKATILI MEATU

...