Fahari ya Serengeti

Tuesday, October 28, 2014

MTUHUMIWA WA WIZI APANDISHA MAJINI BAADA YA KUKAMATWA

 Askari wa mgambo na wananachi wakiwa wamemdhibiti dada huyo mkazi wa mtaa wa Sedeko mjini Mugumu wilaya ya Serengeti kwa tuhuma za kukwapua sh,860,000 na kununua nguo,simu na vitu
 Yuko chini ya ulinzi na vitu alivyonunua akipelekwa ofisi ya mtendaji kata
 Kadhibitiwa


0 comments:

Post a Comment