Fahari ya Serengeti

Wednesday, May 6, 2015

SERENGETI BILA UKIMWI INAWEZEKANA WAANZA KUFUNDISHA WAELIMISHA RIKA.

 RHOBI SAMWEL MRATIBU WA MRADI WA SERENGETI BILA UKIMWI INAWEZEKANA AKITOA MAELEZO KWA WAELIMISHA RIKA.
 Waelimisha rika kutoka kata za Kebanchabancha na Machochwe wakijadiliana namna ya kufanya kufikia jamii.



 Hii ni njia ya kujifunza kwa kutumia mpira ambapo kila mshiriki anawajibika kueleza nini alijifunza
 Mwezeshaji kutoka ofisi ya Maendeleo ya Jamii wilaya


 MMOJA WA WAELIMISHA RIKA AKITOA UFAFANUZI WA MAMBO WATAKAYOFANYA.

0 comments:

Post a Comment