Timu ya Mpira ya Nyakendo kata ya Machochwe wilaya ya Serengeti wakati wakipasha mwili jotokabla ya kuanza mchezo wakati wa mashindano yaliyoandaliwa na John Ryoba Mrema mtia nia ya Ubunge kupitia Chadema jimbo la Serengeti
Maandalizi ya mchezo yanaendelea
Baadhi ya...
Saturday, May 9, 2015
Wednesday, May 6, 2015
SERENGETI BILA UKIMWI INAWEZEKANA WAANZA KUFUNDISHA WAELIMISHA RIKA.
RHOBI SAMWEL MRATIBU WA MRADI WA SERENGETI BILA UKIMWI INAWEZEKANA AKITOA MAELEZO KWA WAELIMISHA RIKA.
Waelimisha rika kutoka kata za Kebanchabancha na Machochwe wakijadiliana namna ya kufanya kufikia jamii.
Hii ni njia ya kujifunza kwa kutumia...