Fahari ya Serengeti

Monday, December 11, 2017

WAPAZA SAUTI KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

 Maandamano ya wadau mbalimbali wakati wa kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wilaya ya Serengeti wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali.
 Maandamano yakiongozwa na watoto wa kike walioko katika Kituo cha Nyumba Salama yakiendelea
 Wanawasilisha ujumbe kwa jamii ili ibadilike waachane na ukatili wa kijinsia hasa ukeketaji na wasomesehe watoto wa kike.
 Wanawasilisha
 Wadau mbalimbali wakifuatilia
 viongozi wakifuatilia
 Ocd Serengeti Mathew Mgema  akielezea matukio ya ukatili wilayani serengeti



0 comments:

Post a Comment