Fahari ya Serengeti

Saturday, November 5, 2016

NGARIBA NA WENZAKE WANASWA KWA TUHUMA ZA KUMKEKETA MTOTO

 Ngariba Nyabitara Magoiga(45)mkazi wa Kitongoji cha Kinyariri Mesaga kata ya Kenyamonta wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara anashikiliwa ma jeshi la polisi kwa tuhuma za kumkeketa mtoto wa miaka 16 akishirikiana na bibi yake na mtoto kwa madai ya kutimiza mila za Kingorema.

 Bibi yake na mtoto aliyekeketwa Nyakaho Msamba mkazi wa Mesaga kata ya Kenyamonta ni miongoni mwa wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za kushirikiana na ngariba kumkeketa mjukuu wake ili atimize mila.
 William Mahemba baba yake na mtoto aliyekeketwa.

0 comments:

Post a Comment