Mganga Mkuu wa wilaya ya Serengeti Salum Manyatta akifungua mafunzo hayo ambapo amesisitiza kuwa mradi huo unalenga kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia wilayani humo hasa suala la ukeketajikwa watoto wa kike.
Dk Manyatta akisisitiza jambo.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa ikiwemo ,Sheria na Haki za Binadamu,Unyanyasaji wa kijinsia na madhara yake,Sheria zinazopinga ukeketaji na adhabu yake.
Anafuatilia Mada
Mijadala inaendelea.
Meneja anasisitiza jambo.
Maoni mbalimbali yakitolewa kwa kila mshiriki.
Mkurugenzi wa Shirika la Wasaidizi wa Kisheria na Haki za Binadamu (Washehabise)Samwel Mewama akitoa mada ya haki za binadamu kwa washiriki.
Masomo Popote ,washiriki wakijadili mada kwenye vikundi kama inavyoonekana.
Mijadala inaendelea.
Mijadala kwenye
Uwasilishaji wa kazi za vikundi inaendelea kama inavyoonekana hapo.
Anawasilisha kazi za vikundi
0 comments:
Post a Comment